a
Mwa 30:20
;
Ufu 7:8
Numbers 1:30
30
a
Kutoka wazao wa Zabuloni:
Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
Copyright information for
SwhNEN